Wanaume Yanga Fans Segerea Veterans mawindoni kumnyatia simba jike. kutoka kushoto ni Mhe: Ally Katembo, Gaydon Mtenga, Karume (mfalme wa waha na watu wote wasio na uhakika na nchi wanazotoka), Leonard Richard (Zidane) pamoja na Andrew Ngong'a (a.k.a Nigeria) wakifanya mawindo kabla ya kuwakabili Simba Fans Segerea Veterans.
Wednesday, January 20, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment