Wednesday, January 20, 2010

ukiona mtu mzima amejishika miguu ujue kachoka ile mbaya. Timu meneja Gaydon Mtenga aliona kuwa ligwaride limekuwa zito akataka kuchojoa magwanda na kukimbia kazi, si mchezo soka ya uzeeni ina raha na kuchoka, ilibidi Mheshimiwa Katembo afanye kazi ya ziada kumshawishi Mtenga kurejea na kuiongoza Yanga Fans Segerea Veterans kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya mahasimu wao wakubwa Simba Fans Segerea Veterans,. Zidane na Alex wao wanacheka tuu, yaani raaha, utamu.

No comments:

Post a Comment