Friday, April 9, 2010

Mratibu wa mashindano ya Mashujaa Bonanza na ambaye pia ni kocha mkuu wa Segerea Veterans Spear Dunia Mbwembwe akaingalia wakati wa makabidhiano ya vifaa vya michezo kwa uongozi wa timu ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars hivi karibuni katika uwanja wa magereza Ukonga.