Monday, March 22, 2010

TANZIA

Uongozi na wanachama wa Segerea Veterans Sports Club wanasikitika kutangaza kifo cha mwanachama mwenzao wa Hiyari ambaye pia ni mke mkubwa wa Senior Member Chief Uyeka Idd Lumbyambya Mavanga wa pili kilichotokea siku ya jumamosi tarehe 20/3/2010 na mazishi kufanyika siku hiyo hiyo katika makaburi ya Kichifu huko Segerea. (Innah hillah Raajun)

Tulimpenda saana shemeji yetu, lakini Allah amempenda zaidi. Amin.