Monday, August 16, 2010


Mwalimu Spear Mbwembwe akiongoza sebene la Twanga pepeta huku wachezaji wake wa segerea veterans Aleche Ninje, Emmanuel Kazimoto, Leonard Richard na Othman Katembo wakiserebuka kwa chati uwanja wa Jamhuri Morogoro wakati wa tamasha la nanenane kabla ya kupambana na Tanzania Stars chini ya Juma Mkambi 'General'
Wajumbe wa kamati ya fitna Edwin Wandawanda, Andrew Ng'ong'a, Ally Ruvu, Garfield Haule, Yakub Matula na Othman Katembo wakati wa nanenane Morogoro 2010. Masuka Village