Friday, June 18, 2010

Gaydon Mtenga na Yackub Matula wakijadiliana na Jerryson Tegete ni kiasi gani atawaachia Segerea Veterans atakapouzwa nchini Sweden maana mgao sio Yanga peke yao ata sie tume, tunamchaji kimazoezi na kumpa vitu adimu kila jumamosi na jumapili.
huyu mtu muhimu saana wakati wa asubuhi baada ya mazoezi, almaarufu kama mama uji., ana bonge la mwanya wa juu.

Khalid Oming'o akijidai na kombe la uji. kushoto ni yule beki maridadi wa Yanga Anwar Awadh akiwa na mwanae pamoja na Salum Mwamtuya na Rogers Mwakalukwa wakijipumzisha baada ya mazoezi.