Friday, June 18, 2010

Gaydon Mtenga na Yackub Matula wakijadiliana na Jerryson Tegete ni kiasi gani atawaachia Segerea Veterans atakapouzwa nchini Sweden maana mgao sio Yanga peke yao ata sie tume, tunamchaji kimazoezi na kumpa vitu adimu kila jumamosi na jumapili.

No comments:

Post a Comment