Wednesday, January 20, 2010

Chifu wa Wanyia na makabila yote madogo ya Mkoa wa Mbeya Chifu Oyeka Idd Lumbyambya wa II alisimamia vyema mambo yetu ya kula na kunywa, hapa anatamani sijui ampele nani sahani, maana machifu wa aina kwa msosi mhhh.

No comments:

Post a Comment