Wednesday, January 20, 2010

tukikosa safari za mikoani ama ulaya hata Ruvu darajani sie tunakwenda tu. Hapa tupo ruvu darajani tunawakilisha soka la kibongo. usipime ushindi hata kwa wasiojua ni kama jadi yetu segerea veterans. Kapteni Richard (Zidane) na golikipa namba moja Godfrey wakishuhudia refa akipewa rushwa ili jamaa wa mpunga washinde.

No comments:

Post a Comment