Wednesday, January 20, 2010

Mkurugenzi wa fedha na mambo ya maana Emmanuel Kazimoto (a.k.a Baba Glory) kwa furaha kabisa akicheka baada ya kudanganywa na Mwenyekiti wa kamati ya ufundi Diego Mohameid kuwa Simba Fans segera watashinda dhidi ya Yanga fans segerea, duuh wala haikuwa hivyo wazee walichezea mbili moja kama kawaida siku ya jumapili tarehe 03/01/2010 kwa magoli ya Karume na Alex kutokana na kazi nzito ya Richard (Zidane)

No comments:

Post a Comment