Chifu Oyoka Idd Lumbyambya wa II linapokuja suala la kula mhhhhhhhh! utamtaka? hapa anajaribu kumlaghai Chifu Magungu wa Malinyi kuwa kiutamaduni yeye ndiye anastahili kugawa wale mbuzi waliochinjwa na Nyemo ambapo kocha Mkuu Spear Suleiman Dunia Mbwembwe alifadhili na mheshimiwa Magungu kulipia gharama zote za manunuzi.
Wednesday, January 20, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment