Wednesday, January 20, 2010

hapa nyumba ya fedha (Emmanuel Kazimoto) aliamua kunywa maji yote wengine ikabidi tuwe tunaangalia chini, maana huko mpunga ruvu darajani maji ya kunywa ilikuwa ishu, hasa baada ya Ayawi kutishiwa na bibi mwenye miembe kuwa tukiondoka salama itakuwa ni bahati yetu.

No comments:

Post a Comment