Wednesday, January 20, 2010

DUUH. ningejua kuwa vifaa hivi bongo ni bei kubwa kihivi si ningebeba kwa madiba nije niwabane wazee wangu wa vitambi segerea kin Mheshimiwa Katembo, chifu Oyoka na kina Emma Kazimoto, safari ijayo lazima niwanunulie mzigo.

No comments:

Post a Comment