Thursday, January 28, 2010

Siku ya kumbukumbu ya Rais wetu Marehemu Mperemba tuliandaa bonge la mechi za bonanza, hapa Zidane (Richard) akiongoza msafara wa wangoni na wapogoro, yaani haule, Ayawi na Katembo kusalimiana na waungwana wa kina Shafii wa Tabata Kimanga Veterans.

No comments:

Post a Comment