Thursday, January 28, 2010

, Mashaka, Haule
Toleo la vikosi mbalimbali vya Segerea Veterans, hapa ni siku ya kumbukumbu ya Rais wetu marehemu Mperemba. Kutoka kushto waliosimama ni Martin Richard Tupilike, Bilary, Andrew Ng'ong'a (Nigeria) Chifu Uyeka Idd Lumbyambya Mavanga wa II (Chifu wa Wanyiha na makabila yote madgo mkoa wa Mbeya), Richard Mwakasege (Zidane) na Gaydon Mtenga.
Waliinama kutoka kushoto ni Othman Katembo, Emmanuel Kazimoto (Baba Glory- mkwe) Airform Kibona, Mashaka, Haule, Herry Kisiki, Godfrey na Ernest.

Waliinama kutoka kushoto ni Othman Katembo, Emmanuel Kazimoto (Baba Glory- mkwe) Airform Kibona, Mashaka, Haule, Herry Kisiki, Godfrey na Ernest.

Waliopiga goti toka kushoto ni Bilary,Karume,Babu Ayawi, Herry Kisiki, Mashaka, Airform Kibona na Yackub (Cisse) aliyelala ni Godfrey.
Thursday, January 21, 2010
Wednesday, January 20, 2010

Subscribe to:
Posts (Atom)