Spear Dunia Suleinman Mbwembwe Kocha mkuu wa Segerea Veterans akiwa kazini uwanja wa Jamhuri Morogoro. Pamoja na kuwa kocha pia ni mfanya biashara maarufu wa vifaa makini vya michezo nchini.
Thursday, January 28, 2010
REMINISCING on this eventful day; a couple of years (2008) when Segerea Veterans Sports Club hosted a Bonanza in fond memories of their slain President Mperemba (Le Presider). Captured in the photo is Segerea Veterans Chairman Mr. Magungu who happened to be the Guest of Honour presenting a pair of jersey to Leonard Richard (Zidane) after his team emerged overall winners of the tournament. Looking on are Mr. Paul Kidubo and Khalid Oming'o. The ocassion was professionally conducted and administered by Mr. Whatson Mwamafupa and Eliud Pemba.
, Mashaka, Haule Toleo la vikosi mbalimbali vya Segerea Veterans, hapa ni siku ya kumbukumbu ya Rais wetu marehemu Mperemba. Kutoka kushto waliosimama ni Martin Richard Tupilike, Bilary, Andrew Ng'ong'a (Nigeria) Chifu Uyeka Idd Lumbyambya Mavanga wa II (Chifu wa Wanyiha na makabila yote madgo mkoa wa Mbeya), Richard Mwakasege (Zidane) na Gaydon Mtenga.
Waliinama kutoka kushoto ni Othman Katembo, Emmanuel Kazimoto (Baba Glory- mkwe) Airform Kibona, Mashaka, Haule, Herry Kisiki, Godfrey na Ernest.
Waliinama kutoka kushoto ni Othman Katembo, Emmanuel Kazimoto (Baba Glory- mkwe) Airform Kibona, Mashaka, Haule, Herry Kisiki, Godfrey na Ernest.
Wazee wa Segerea Veterans kutoka kushoto waliosimama Whatson Mwamafupa, Othman Katembo, Muhdin Sisso, Gaydon Mtenga, Leonard Richard Mwakasege, Khalid Oming'o, Ernest, Macho, Nyemo John Chinyabe, Andrew Ng'ong'a (Nigeria), Chifu Uyeka Idd Lumbyambya Mavanga wa II, Hope Kaizer, na Eliud Pemba (Oyaa Msela Oyaa).
Waliopiga goti toka kushoto ni Bilary,Karume,Babu Ayawi, Herry Kisiki, Mashaka, Airform Kibona na Yackub (Cisse) aliyelala ni Godfrey.
Waliopiga goti toka kushoto ni Bilary,Karume,Babu Ayawi, Herry Kisiki, Mashaka, Airform Kibona na Yackub (Cisse) aliyelala ni Godfrey.
Thursday, January 21, 2010
Wednesday, January 20, 2010
Wanaume Yanga Fans Segerea Veterans mawindoni kumnyatia simba jike. kutoka kushoto ni Mhe: Ally Katembo, Gaydon Mtenga, Karume (mfalme wa waha na watu wote wasio na uhakika na nchi wanazotoka), Leonard Richard (Zidane) pamoja na Andrew Ngong'a (a.k.a Nigeria) wakifanya mawindo kabla ya kuwakabili Simba Fans Segerea Veterans.
ukiona mtu mzima amejishika miguu ujue kachoka ile mbaya. Timu meneja Gaydon Mtenga aliona kuwa ligwaride limekuwa zito akataka kuchojoa magwanda na kukimbia kazi, si mchezo soka ya uzeeni ina raha na kuchoka, ilibidi Mheshimiwa Katembo afanye kazi ya ziada kumshawishi Mtenga kurejea na kuiongoza Yanga Fans Segerea Veterans kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya mahasimu wao wakubwa Simba Fans Segerea Veterans,. Zidane na Alex wao wanacheka tuu, yaani raaha, utamu.
Bonge la uwanja wa world cup 2010 linaitwa Mbombela Municipal Stadium lipo Nelspruit (Nelcity) South Africa, hapo ilikuwa mwaka jana 2009 mwezi februari. Nasikia tayari limekwisha kamilika. Segerea Veterans tumepewa mwaliko na jamaa wa Valencia Sporting Club Nelspruit kufanya ziara baada ya kwisha kwa world cup 2010. Kila mtu passport juu.
Chifu Oyoka Idd Lumbyambya wa II linapokuja suala la kula mhhhhhhhh! utamtaka? hapa anajaribu kumlaghai Chifu Magungu wa Malinyi kuwa kiutamaduni yeye ndiye anastahili kugawa wale mbuzi waliochinjwa na Nyemo ambapo kocha Mkuu Spear Suleiman Dunia Mbwembwe alifadhili na mheshimiwa Magungu kulipia gharama zote za manunuzi.
tukikosa safari za mikoani ama ulaya hata Ruvu darajani sie tunakwenda tu. Hapa tupo ruvu darajani tunawakilisha soka la kibongo. usipime ushindi hata kwa wasiojua ni kama jadi yetu segerea veterans. Kapteni Richard (Zidane) na golikipa namba moja Godfrey wakishuhudia refa akipewa rushwa ili jamaa wa mpunga washinde.
Mkurugenzi wa fedha na mambo ya maana Emmanuel Kazimoto (a.k.a Baba Glory) kwa furaha kabisa akicheka baada ya kudanganywa na Mwenyekiti wa kamati ya ufundi Diego Mohameid kuwa Simba Fans segera watashinda dhidi ya Yanga fans segerea, duuh wala haikuwa hivyo wazee walichezea mbili moja kama kawaida siku ya jumapili tarehe 03/01/2010 kwa magoli ya Karume na Alex kutokana na kazi nzito ya Richard (Zidane)
Subscribe to:
Posts (Atom)