Saturday, February 13, 2010

Washkaji wa Boko Veterans wakishauriana jinsi ya kukabiliana na moto wa Segerea Veterans, uongo washkaji wapo sawa kwani mechi iliisha 0-0 ingawa Segerea Veterans walikuwa kamili chini ya kocha Spear Mbwembwe, lakini Boko Veterans chini ya Bekar (Bekar Ranger) walitoa upinzani mzuri.

No comments:

Post a Comment