Saturday, February 13, 2010

Jamaa wa Boko sio mchezo, siunaona Mwalimu wa Segerea Veterans anashindwa hata kujua hii ni aina gani ya bia. Bahati mbaya ata Ayawi pia hajui aina ya bia maana yeye Hanywi pombe. wale wengine maskini wanaangalia nini sijui.

No comments:

Post a Comment