Saturday, February 13, 2010

Beki aliyerudi katika kiwango cha zamani ambaye alikuwa nyota ya Tabora na watu kama Ally Mayai, Huruna Moshi, Idd Moshi, Mrisho Moshi, Mohamed Banka, Yahya Akilimali walikuwa wanajifunza mavitu kutoka kwake Salum Mwamtuya (Baba Said).

Tunatamani kama angekuwa bado anacheza soka ya upinzani labda angeweza kutupa miaka ya sasa. Ukitaka kuona vitu vyake watafute Segerea Veterans wanapocheza, haiitaji kuambiwa utaona beki akiwanyanyasa washambuliaji utajua tu huyo ndiye Salum Mwantuya.

No comments:

Post a Comment