Wednesday, February 10, 2010



Hawa jamaa wa Ivory Coast bwana noma, si unaona jamaa anavyokojoa, sasa sisi Segerea Veterans tulipokataa kucheza nao watu wakaanza kuchonga kuwa tunaringa sababu ya kiwango chetu, ukweli ni kuwa uwanja wetu ni msafi tunaogopa jamaa wangechafua.

No comments:

Post a Comment