Saturday, February 13, 2010

Mheshimiwa Ally Katembo akichangia mawaidha ya busara na Ndugu zetu wa Boko Veterans. Jamaa walimwaga unywaji si mchezo, hapa anaonekana Mheshimiwa Boli Zozo akikubaliana na mawazo ya Mheshimiwa Katembo kwa kutikisa chupa ya ulabu, wengine pichani ni Muhudini Sisso, Spear Mbwembwe na Juma Katembo mwenye chupa ya maji Uhai.

No comments:

Post a Comment