Monday, November 11, 2013

wakati wa mapumziko hapo Tabora All Stars kina Mrisho Moshi, Credo Mwaipopo, Ahmeid Mwinyimkuu, Idd Selemani na wengine wengi washakula 3-1 mpaka half time.... chezea Diego na Ghetto.... Mao Mkami na Ally Ruvu walikishikila kiungo, kibona, majugwa, msafiri, Mtilikwa walikuwa imara kwenye ulinzi , waheshimiwa Ramadhani Maleta na Ally Katembo wakikimbiza kwenye wingers


No comments:

Post a Comment