Monday, November 11, 2013

Wana wa Msimbazi tawi la Segerea Veterans wakiongozwa na wachezaji wao wa zamani, Spear Mbwembwe na Ally Ruvu walikuwa na mkwala mzito, wanaonekana kina Brown Francis, Shebby Machumani, Abbas Kiroge, Mhe: Ramadhani Maleta na wengineo wakitishwa na Mhe: Ally Katembo wa Yanga Africans

No comments:

Post a Comment