Chief Uyeka akikabidhi vifaa vya michezo kutoka Uingereza kwa mfadhili wetu Sean Millar kwa uongozi wa Segerea Veterans ukiongozwa na Mhe: Ally Katembo na Rehani Masoud
Monday, November 11, 2013
wakati wa mapumziko hapo Tabora All Stars kina Mrisho Moshi, Credo Mwaipopo, Ahmeid Mwinyimkuu, Idd Selemani na wengine wengi washakula 3-1 mpaka half time.... chezea Diego na Ghetto.... Mao Mkami na Ally Ruvu walikishikila kiungo, kibona, majugwa, msafiri, Mtilikwa walikuwa imara kwenye ulinzi , waheshimiwa Ramadhani Maleta na Ally Katembo wakikimbiza kwenye wingers
Subscribe to:
Posts (Atom)