Monday, October 22, 2012

Jacob Aridi - Oming'o (aliyejishika kiunoni) alikuwa ni shabiki nambari moja wa Simba na Liverpool, hapa ilikuwa ni ktk mpambano wa mashabiki wa simba na wale wa Yanga.. siku zote palikuwa panachimbika. tutakukosa mno kamanda na rafiki wa kweli. Pumziko la Amani ulipate na raha milele utapewa na mwanga wa milele utaangaziwa.

No comments:

Post a Comment