Tuesday, October 19, 2010


Professor Madundo Mtambo mwanasoka msomi aliyetukuka akikabidhiwa zawadi yake ya mwanasoka bora katika mchezo baina ya SUA Veterans na Kisukulu, zawadi zilitolewa na Mratibu wa bonanza la nanenane 2010 uwanja wa Jamhuri Morogoro.

No comments:

Post a Comment