Monday, October 18, 2010

Mkurugenzi wa Ibra Construction Ltd na Maderaine Clearing and Forwarding Bwana Emmanuel Kazimoto (kushoto )ambaye pia ni mmiliki wa timu ya Segerea Rangers akiwa na kipaji kipya ambacho kinasemekana kuwa ata kocha wa vijana Tinnicko alipokwenda na Kocha maximo walikitambua na watu wakambania mtoto huyu. Huyu mtoto ni balaa, yaani ni kama Tevez anaitwa Kassimu na kwao ni maarufu kama Daniel Alvez. tegeni masikio juu ya dogo huyu.

No comments:

Post a Comment