Spear Mbwembwe na Eliud Pemba wakiwakilisha vyema na Kilimanjaro Beer huku Godfrey akimpa ushauri Danny Mrwanda kwa mbali.
Tuesday, October 19, 2010
Monday, October 18, 2010
Mkurugenzi wa Ibra Construction Ltd na Maderaine Clearing and Forwarding Bwana Emmanuel Kazimoto (kushoto )ambaye pia ni mmiliki wa timu ya Segerea Rangers akiwa na kipaji kipya ambacho kinasemekana kuwa ata kocha wa vijana Tinnicko alipokwenda na Kocha maximo walikitambua na watu wakambania mtoto huyu. Huyu mtoto ni balaa, yaani ni kama Tevez anaitwa Kassimu na kwao ni maarufu kama Daniel Alvez. tegeni masikio juu ya dogo huyu.
Sunday, October 17, 2010
Saturday, October 9, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)