Monday, May 24, 2010

Timu kamambe ya Mbeya Veterans (Mbalizi) baadhi ya wachezaji ni kama Shaaban kiungo wa zamani wa Majimaji wapili kushto waliosimama na Ephraim Kayeta mshambuliaji mwenye akili, kasi na mashuti wa timu za Mecco ya Mbeya na timu ya taifa ya tTanzania enzi hizokatikati waliosimama. hapa ni kabla ya pambano lao na timu ya Buguruni Veterans wakati wa pasaka 2010. Wengine pichani ni jairo, mwasa, kaunda na wengineo.

No comments:

Post a Comment