Monday, May 24, 2010



"the Special One" kutua Segerea Veterans.

Homa imeanza kuwapanda waalimu ya timu ya Segerea Veterans kuwa yule kocha mwenye mafanikio na mbwembwe nyingi kipenzi cha watu, kiboko wa wote wenye akili Jose Mourinho yupo mbioni kukamilisha mkataba wa siku kumi kukinoa kikosi hicho. aaaaaaaahhh, utani tu jamani.

No comments:

Post a Comment