Thursday, April 12, 2012

wanasoka mahiri wa zamani nchi hii wakimsikiliza mpiga soga za soka kutoka kushoto ni Mao Mkami "Ball Dancer" Mbwiga wa Mbiguke, Dua Bin Said na Spear Mbwembwe wakijiuliza nini kinatokea kwa wachezaji wa siku hizi kila siku kubadili mitindo ya nywele na kiwango cha soka kinaporomoka tu

No comments:

Post a Comment