Mwenyekiti wa Segerea Veterans Mh: Magungu akishiriki chakula pamoja na timu zote shiriki katika bonanza la mwaka 2010 wakati wa pasaka na kuhudhuriwa na timu tatu, wenyeji segerea , Mbeya Veterans na Buguruni Veterans.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment